Wamitila (2003: 44), anaeleza kuwa fasihi simulizi ni dhana inayotumika kurejelea kazi ambazo kimsingi hupokezanwa kwa njia ya masimulizi au kwa mdomo. Anaendelea kueleza kuwa fasihi hii hutumiwa katika jamii kwa njia ya kupashana maarifa inayohusu...
Nadharia ni dhana iliyofafanuliwa na wataalamu mbalimbali kama ifuatavyo Wafula na Njogu (2007.7) nadharia ni jumla ya maelekezo yanamsaidia msomaji au mhakiki kuifahamu kazi ya fasihi kwa kufuata utaratibu maalumu.
TUKI (2004:300) nadharia mawazo,...
Katika kujibu swali hili tumeligawa katika sehemu tatu. Sehemu ya kwanza ni utangulizi ambapo istilahi zilizojitokeza katika swali zitafasiliwa kwa mujibu wa wataalamu mbalimbali, sehemu ya pili ni kiini cha swali na sehemu ya tatu ni hitimisho la swali....
Wataalamu mbalimbali wamefasili dhana ya sentensi kama ifuatavyo Kapinga (1983), anafasili sentensi kuwa ni kipashio kikubwa kuliko vipashio vya kiisimu na huwa na wazo kamili. Anaendelea kueleza kuwa sentensi ni sehemu ya sarufi ambayo agharabu hujisimamia...
Malengo ya isimujamiiIsimujamii ina malengo makubwa matatu yafuatayo:-Kuchunguza tofauti za wazungumzaji wa lugha katika jamii.Wanaisimujamii hufanya uchunguzi na kufafanua tofauti zilizopo za watumiaji wa lugha katika jamii na kueleza tofauti...